HAPA KAZI TUU.... JOHN POMBE MAGUFULI AANZA NA WIZARA YA FEDHA


Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli hii leo amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za Wizara ya fedha na kukuta baadhi ya watendaji katika Wizara hiyo wakiwa hapo ofisini Ikiwa bado ni muda wakazi.

Katika hali isiyoyakawaida, Rais Magufuli pia alitembea kwa miguu akitokea Ikulu kwenda ofisini hapo akiambatana na walinzi wake ambapo alikuta maofisa hao wakiwa awapo kazini.



Watanzania mbalimbali wametoa maoni kwa njia ya mitandao ya kijaa  juu ya ziara hiyo ya kushtukiza kuwa ya kuimarisha uchapakazi kwani viongozi wengi wa serikali wamekuwa wakifanya kazi kimazoea jambo ambalo linapelekea maendeleo kurudi nyuma.

Hivyo kumtaka Mhe Rais JP kuhakikisha kuwa anafanya ziara za mara kwa mara ili aweze kuwawajibisha wafanyakazi wazembe serikalini.


EmoticonEmoticon