Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na kampuni ya Azam Media leo (Agosti
30 mwaka huu) wamesaini mkataba wa haki za kipekee za televisheni
(exclusive...

NASIKIA KUITWA- ALBUM MPYA YA NJIMBO ZA INJILI IKO MADUKANI
huu ni muonekano wa albam cover ya peter banzi inayokwenda
kwa jina la NASIKIA KUIT...
MECHI YA YANGA, COASTAL YAINGIZA MIL 152/-
Mechi ya Ligi Kuu ya
Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Coastal Union iliyochezwa jana (Agosti 28 mwaka
huu) katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza...
ASKARI WA JWTZ AFARIKI DRC. CONGO, IGP NAE AFANYA PANGA PANGUA KWA MAOFISA WAKE
Kurugenzi
ya habari na mawasiliano makao makuu ya jeshi la wananchi JWTZ
limetoa taarifa ya tukio la kufariki kwa afisa wa jeshi hilo akiwa
katika...

WAWEKA PINGAMIZI WAGONGA MWAMBA TFF
Release No. 143
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Agosti 28, 2013
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeshindwa...

MAANDALIZI MKUTANO WA UCHAGUZI TFF
Release No. 142
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Agosti 27, 2013
Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inaendelea na...
WABUNGE WATAKA UWAZI SUALA LA MADWA YA KULEVYA, LUKUVI YEYE ASISITIZA SERIKALI ITACHUKUA HATUA MPAKA IJIRIDHISHE
BUNGE la 10 mkutano wa 12 kikao cha kwanza imeanza hii leo jijini Dodoma, katika kikao hicho ambapo hoja mbalimbali zilisomwa na maswali kadhaa yaliulizwa...

UTAFITI WA KUPIMA UMAHIRI WA WATOTO KATIKA KUSOMA NA KUANDIKA WAJA
Watafiti wa kujitolea elfu nane kutathmini watoto Tanzania BaraUtafiti umelenga kupima umahiri wa watoto katika stadi za kusoma na kuhesabu
21 Agosti...

NSSF YALIA NA UNIVERSAL PENSION, WAWATAKA WADAU KUJIRIDHISHA KABLA YA KUIPITISHA, SASA KUJITOSA KUKOMESHA MALERIA
Shirika la taifa la hifadhi ya jamii NSSF imewatahadharisha waajiri wasiowasilisha michango ya kila mwezi ya wafanyakazi ambao wamejiunga katika mfuko...

58 WAJITOSA UCHAGUZI TFF, BODI YA LIGI
Jumla ya wanamichezo 58 wamerusha fomu kuomba kuteuliwa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania...

WAHAMIAJI HARAMU WATAKIWA KUONDOKA NCHINI, WANAO WALINDA KUKIONA
Wizara ya mambo ya ndani ya nchi Tanzania imetangaza kuanza
rasmi kwa zoezi la kuwaondoa wahamiaji haramu ambao wamekuwa wakiingia na
kuishi nchini kinyume...

U20 WANAWAKE KUANZIA RAUNDI YA KWANZA KOMBE LA DUNIA
Timu
ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania ya umri chini ya miaka 20 inaanzia
moja kwa moja raundi ya kwanza Kanda ya Afrika kutafuta tiketi ya
kucheza...
GOROFA LAANZA KUPOROMOKA HUKU LIKIENDELEA KUJENGWA DAR, AANGUKIA NYUMBA,MAJIRANI WAOFIA USALAMA WAO
Sehemu ya Nyumba ya mama mmoja mkazi wa Kinondoni karibu na Hospitali ya Dr. Mvungi jijini Dar es salaam ilioangukiwa na gorofa linaloendelea kujengwa...

KAMATI YAPITIA USAJILI, NGASA KUCHEZEA YANGA
Release No. 133
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Agosti 16, 2013
KAMATI YAPITIA USAJILI, NGASA KUCHEZEA YANGA
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji...
TAASISI YA MIFUPA (MOI) YAPOKEA VIFAA VYA UPASUAJI WA UTI WA MGONGO
Taasisi ya mifupa ya hosptali ya Taifa Muhimbili MOI, hii leo imepokea vifaa vya upasuaji wa magonjwa ya uti wa mgongo kutoka kwa kampuni moja ya...

UCHAGUZI TFF, BODI YA LIGI KUU KUFANYIKA OKTOBA 20, NAFASI ZAWEKWA WAZI KWA WAGOMBEA
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetoa tangazo la uchaguzi wa Kamati ya mpya ya Utendaji ambao utafanyika Oktoba...
NAPE AWARUDISHA MADIWANI WANNE WA CCM WALIOTIMULIWA BUKOBA
Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kagera jana tarehe 13/08/2013 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika mjini Bukoba imetangaza uamuzi wake...

KAMATI KUTANGAZA MCHAKATO WA UCHAGUZI TFF LEO
Mchakato wa uchaguzi wa kamati mpya ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) unatarajiwa kutangazwa hii leo (Agosti 13 mwaka huu).
Mwenyekiti...

MAKOCHA 32 KUSHIRIKI KOZI YA FIFA COPA COCA-COLA
Makocha 32 kutoka mikoa ya Tanzania Bara na Visiwani wanashiriki kozi ya Copa Coca-Cola inayoanza kesho (Agosti 12 mwaka huu) jijini Dar es Salaam chini...

MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA CHUMBA CHA MTIHANI, TARATIBU CHACHE SANA LAKINI HUFELISHA WENGI .....ZINGATIA HAPA
Watu wengi hufeli kwasababu ya kutofuata taratibu na sheria za mitihani, hapa baraza la mitihani limekupa mambo ya kufanya na mambo ambayo...
WATANZANIA WAHAMASIHWA KUCHANGIA ELIMU, UJENZI WA MABWENI 30 KWA SHULE ELFU 1500
Wanafunzi wanaoishi katika Geto au nyumba za kupanga hawapati nafasi
ya kusoma kutokana na mazingira ambayo wanakumbana nayo katika nyumba
hizo...

KAULI YA PIGA TU YA MFIKISHA PINDA MAHAKAMANI NI BAADA YA KUKATAA KUFUTA KAULI HIYO
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania LHRC kwa kushirikiana na wanasheria wa Tanganyika leo wamefungua kesi katika mahakama kuu ya Tanzania...
MALERIA IMEPUNGUA KUTOKA ASILIMIA 18 MPAKA ASILIMIA 10 HIVI SASA : WAZIRI WA AFYA ASEMA
Hali ya maambukizi
ya ugonjwa wa malaria nchini imepungua kutoka asilimia 18 mwaka 2007
hadi mwaka 2008 mpaka kufikia asilimia 10 kwa mwaka 2012...

MILIKI BIASHARA YAKO NA TIGO- BAJAJI ZA ZIDI KUTOLEWA
Kampuni ya simu za
mkononi ya TIGO imeendelea kuwamilikisha
biashara wateja wake kupitia
promosheni yake ya Miliki biashara yako ambapo kila mshindi...
Subscribe to:
Posts (Atom)