Mwili wa askari aliyeuawa kwa kupigwa
risasi Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC Afisa Luteni Ahmad Rajab
Mlima umeagwa na kuzikwa leo katika makaburi...
CHUO CHA HESABU KUANZISHWA HAPA NCHINI
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa hapo jana amekutana na kufanya
mazungumzo na Wajumbe wa African Institute...
KAMATI YA UCHAGUZI YATANGAZA WAGOMBEA TFF
Kamati
ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetangaza
orodha ya mwisho ya wagombea wa uchaguzi wa TFF na wa Bodi ya Ligi
(TPL...
SERIKALI YATAKIWA KUONGEZA KODI KWA BIDHAA ZA SAMANI ZINAZO AGIZWA NJE
Serikali imeshauriwa kuongeza
kodi katika bidhaa za samani zinazoingizwa hapa nchini ili kuweza
kuongeza dhamani ya soko la samani zinazo tengenezwa...
SHIRIKISHO LA KISIASA LA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI, TANZANIA YATAKA WANANCHI KUKUBALI
Serikali ya
Tanzania imesisitiza kuwa haitokubali kushiriki mpango wowote wa
kuharakisha uundwaji wa shirikisho la kisiasa la nchi za Afrika
Mashariki...
WANANCHI 40,000 WALIA NA TATIZO LA MAJI HUKO ARUMERU
Wananchi
zaidi ya 40,000 wa vijiji 30 katika wilaya za Arumeru na Longido
mkoani Arusha wanakabiliwa na tatizo kubwa la kukosekana kwa maji
katika...

WALIOKOPESHWA NYUMBA ZA SERIKALI WAPEWA MWEZI MMOJA, UJENZI WA ZINGINE 851 NAO UMEANZA
Waziri
wa ujenzi nchini Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametoa kipindi cha
mwezi mmoja kwa watumishi wa umma waliokopeshwa nyumba za serikali,
kulipa...
MCHAKATO WA KATIBA MPYA: JK,LIPUMBA,MBATIA NA MBOWE WAJADILI IKULU
KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete mchana wa leo,
Jumanne, Oktoba 15, 2013 ameanza...
Subscribe to:
Posts (Atom)