Baadhi
ya wilaya hapa nchini bado zinakabiliwa na ukosefu mkubwa wa
mahitaji ya huduma za afya kama vile ukosefu wa madawa, madaktari
pamoja na vifaa...
Mwenyekiti wa chama cha waalimu nchini bwana Gratius Mukoba ameitaka serikali kuwalipa walimu madai yao yanayofikia kiasi cha shilingi Billioni 40 hivi...