Chuo kikuu Huria cha Tanzania (CKHT) Kitamtunuku Rais Barack Obama shahada ya heshima au uzamivu iitwayo Doctor of Lettres (D.Litt) Henoris kwa mheshimiwa...

FURSA ZA AJIRA ZATAJWA NA MTANDAO UNAO TOA AJIRA FEKI NAO WAPONDWA
Sekretariet ya Ajira nchini imeainisha fursa za ajira zilizopo serikali na kuwataka wahitimu au wanafunzi wanaopata fursa ya kujiunga na elimu ya juu...
SABASABA KWA PAMBA MOTO, NCHI 32 ZITASHIRIKI HUKU MAKAMPUNI 1620 YA NDANI NAYO YATAKUWEPO
NCHI
32 pamoja na makampuni ya ndani 1620 yatashiriki katika maonyesho ya
37 ya biashara ya kimataifa yajulikanayo kama sabasaba yanayofanyika
kila...

DAWA ZA KULEVYA NI JANGA LA TAIFA, YADAIWA KUWAHUSISHA MATAJIRI NA VIGOGO
Wakati Tanzania ikiungana na nchi zote duniani katika maadhimisho ya kupiga vita Dawa za kulevya. kitaifa maadhimisho hayo yamefanyika mkoani Dodoma
Taifa...
WANANCHI WA AFRIKA KUSINI WAENDELEA KUMWOMBEA MANDELA
Hali ya Raisi wa kwanza mweusi nchini Afrika kusini Nelson Madiba
Mandela mwenye umri wa miaka 94, imeelezwa kuwa ni mbaya na amekata...
UJENZI WA BARABARA WA WAONDOA MACHINGA ENEO LA MANZESE
Wafanya biashara wadogo kandokando ya barabara ya Morogoro eneo la Manzese jijini Dar es salaam wameendelea kutolewa kwa nguvu chini ya ulinzi mkali wa...
Wakazi wa Jangwani wakiendelea kuchota maji yanayo mwagika kutokana na ujenzi wa barabara inayojengwa kutoka Ubungo kuelekea Posta, ni ya mabasi yaendayo...

MAIZE DESEASE WORRIES FARMERS IN TANZANIA
When the Government plan to give a statement this week on the magnitude of the "Maize Lethal Necrosis- (MLN)" this week Thecampasvision Blog Bring you...
DANCE 100% YA ANZA KWA KISHINDO VIWANJA VYA TCC CHANG'OMBE,
Mashindano ya Dance yanayo fanywa na kituo cha utangazaji cha EATV yanayo kwenda kwa jina la DANCE 100% yameanza tena kwa kishindo huku makundi kibao...
JOTO HASIRA ITAISHALINI- FOLENI NJIA NZIMA
Watumiaji wa barabara ya New Bagamoyo Road hatuna nafuu hata kidogo licha ya barabara hiyo kufunguliwa na kuruhusu njia mbili kutumika baadhi ya maeneo
Poleni...

WAZIRI MKUU WA TANZANIA ARUHUSU POLISI KUPIGA RAIA
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo
Pinda amewakabidhi rungu Jeshi la Polisi ilikupiga raia ambao watajikusanya au
kuandamana...
MAMLAKA YA ELIMU YAGAWA MADAWATI 420 KWA WILAYA YA MASASI - MTWARA
Mamlaka ya Elimu nchini imetoa
jumla ya madawati 420 kwa shule za msingi 12 katika wilaya ya masasi
mkoani Mtwara yenye jumla ya shilingi Millioni...
OFISI YA SERIKALI YA MTAA MZIZIMA INAHITAJI MAREKEBISHO
Hii ndio ofisi ya mwenyekiti serikali ya mtaa makumbusho - Mzizima kiukweli inahitaji marekebisho ili kuweza kuendesha shuguli za kijamii ipasavyo...

WABUNGE 4 WA CHADEMA NA WANANCHI 60 NA MIKONONI MWA POLISI, MHE MBOWE, TUNDU LISU HAWAJULIKANI WALIPO
Jeshi la polisi mkoani Arusha limewakamata wabunge 4 wa chadema ambao majina yao hayajajulikana mara moja, pamoja na wananchi wengine wapatao...
Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA kimeichukuliwa
hatua ya serikali ya kutangaza dau la shilingi Mil. 100 kwa yeyote atakaye
fichua...
WATOTO WAOMBA SIKU YAO KUJADILI RASIMU, LHRC NAO WAZIDI KUJITOSA KUTETEA HAKI ZAO
Kituo
cha sheria na haki za binadamu, hii leo kimefanya maadhimisho yake ya
siku ya mtoto wa Afrika katika viwanja vya posta kijitonyama jijini
Dar...

MLIPUKO ARUSHA, SERIKALI KUTOA MILIONI 100 KUMPATA MTUHUMIWA
Huku watanzania wakiwa katika hali ya sinto fahamu kutokana na bomu lililolipuka huko Arusha na kujeruhi watu zaidi ya 55 huku watu 3 wakiwa wamefariki...
TAMASHA LA FILAMU NCHINI KUANZA JULAI MOSI 2013 MKOANI MWANZA
Tamasha
la Filamu nchini lijulikanalo kama Tanzania Open Film linatarajia kufanyika
katika jiji la Mwanza kuanzia Julai mosi mpaka Julai 7 mwaka huu
Akizungumza...

KESI YA BALOZI MZENGI NA BIASHARA YA KUSAFIRISH MWANADAMU, YAHUSISHWA ZIARA YA OBAMA NCHINI TANZANIA
Licha y Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Alfonso Lenhard kutoa sababu ya ziara ya Rais wa Taifa la Marekani, Barack Obama nchini Tanzania haina...
LORI AINA YA SCANIA LATEKETEA KWA MOTO MBEZI
Jana Majira ya saambili usiku meneo ya Mbezi beach samaki Lori aina ya Scania lenye
namba za usajili T 194 ATR liliungua moto kutokana na tairi la mbele...

TUHUMA ZA RUSHWA DHIDI YA NAIBU WAZIRI WA ELIMU ZILIZOTOLEWA NA CHADEMA
CHADEMA yamnasa Waziri Mulogo kwa rushwa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemfikisha Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Phillip...
MILLIONI MIA 320 KUOKOA WANAWAKE WAJAWAZITO, RUKWA NA MWANZA
Serikali imegundua
njia mpya yakuwawezesha wanawake kuhudhuria hospitali wakati
wakujifungua baada ya kubaini kuwa, Asilimia 98 ya wanawake
wanahudhuria...
Subscribe to:
Posts (Atom)