Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani vikali njama za Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana kufufua kesi ya uchaguzi...
Chama
cha walimu Tanzania kimeitaka jamii kutambua kuwa mgogoro kati ya
walimu na serikali bado upo palepale kutokana na serikali kutokubali
kutekeleza...
Baraza
la mitihani Tanzania, leo limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato
cha sita uliofanyika mwezi February mwaka huu, huku asilimia 93.9 ya
watahiniwa...
Matokeo mapya yaliyo subiriwa kwa hamu
sana hatimaye yametoka hii leo, huku kiwango cha waliofaulu
kikiongezeka na kuwa asilimia 43 hivi sasa kutoka...
Msanii wa Bongo Fleva Albert Mangwair amefariki dunia akiwa Afrika kusini ambapo alikuwa akifanya shoo za muziki akiwa na msanii mwenzake Bushoke
Habari...
Serikali imekiri
kuwa uhaba wa vifaa vya tiba ni tatizo hasa kwa hospitali kubwa hapa
nchini, hali ambayo ilipelekea madaktari kufanya mgomo katika siku...
Viongozi wetu wamekuwa na vipaumbele vyao kuliko maisha yetu, wakumwambia haonekani na anaye ambiwa hasikii kwani msaada kutoka World Health Organisation...
Mashine za kukatia risiti zilizo zinduliwa na Mamlaka ya mapato Tanzania TRA wiki hii, ambazo zitatumiwa na wafanya biashara wenye kuingiza kipato cha...
Kutokana
na tatizo la upungufu wa madawati katika shule za msingi na sekondari
katika manispaa ya Ilala, imemlazimu meya wa manispaa hiyo bwana
Jerry...
Jukwaa la Katiba Tanzania
limeamua kwenda mahakamani kupinga mwenendo wa uundwaji wa katiba mpya kwa
madai kuwa mchakato unaotumika siyo wa kidemokrasia.
Akiongea...
Kutokana
na swala la ukosefu wa Ajira nchini, Baraza la uwezeshaji wananchi
kiuchumi NEEC limeamua kuwapa elimu ya kujiajiri vijana 40 ambao ni
wahitimu...
Swala la uharibifu wa mazingira umetajwa kuwa chanzo cha kukauka kwa vyanzo vya maji nchini, na kuchangia kwa tatizo la uhaba wa maji
Hayo yamesemwa...
Nawatakia kila heri na furaha kina mama wote wa Tanzania katika siku ya maadhimisho ya wanawake Duniani, ambayo hufanyika mara moja kil mwaka.
Wanawake...