Mfumo wetu wa elimu kwa muda mrefu umeonesha udhaifu katika usimamizi, uendeshaji, udhibiti na ugharimiaji tangu Taifa letu lilipo amua kufanya ugatuzi...
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Harrison Mwakyembe amewataka wadau wa masuala ya sheria na wananchi kwa ujumla kutoa maoni yao juu ya muswada wa sheria...
Mufti
Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally ametangaza siku kuu
ya kuzaliwa Mtume Muhamad ya Maulid maarufu kwa jina la Maulid Day,
kitaifa...
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo amemuapisha Kamishna wa
Polisi Diwani Athuman Msuya kuwa Katibu Tawala wa Mkoa...